Joshua 13:1

Sehemu Za Kanaani Ambazo Hazijatwaliwa

1 aYoshua alipokuwa mzee na umri wake ukiwa umesogea sana, Bwana akamwambia, “Wewe ni mzee sana, na bado kumesalia sehemu kubwa sana za nchi ambazo ni za kutwaliwa.

Copyright information for SwhKC